Posted on: June 13th, 2021
June 13 2021 Mwenge wa uhuru umefanikiwa kupita wilayani Babati na kukagua miradi 3 ya maendeleo. Kiongozi wa mbio za mwenge 2021 Luteni Josephine Paul Mwampasho ameridhishwa na utekelezaji wa miradi ...
Posted on: June 5th, 2021
Jamii imeshauriwa kutunza mazingira kwa vitendo ikiwa ni pamoja na kupanda miti, kutumia vyoo safi,na kulinda vyanzo vya maji. Hayo ameyasema Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya ya Babati Ndg Salumu Issa &n...
Posted on: June 4th, 2021
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Makongoro Nyerere ameipongeza H/ Wilaya ya Babati kwa ununuzi wa gari Lori aina ya Damping truck,faw tani 22 , fedha za Mapato ya ndani,kwa ajili ya ujenzi wa...