• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Babati District Council
Babati District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango Ufuatiliaji na Takwimu
      • Ardhi mali Asili na Wanyamapori
      • Maendeleo ya jamii na ustawi wa jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mazingira na Usafi wa Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji nyuki
      • Teknologia ya Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Uchaguzi
    • Link ya Machapisho ya Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kiofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Maji

IDARA YA MAJI

Huduma ya maji katika Halmashauri ya Wilaya ya Babati hadi kufikia Februari 2017 inatolewa kwa watu wapatao 224,922 ambao ni sawa na asilimia 62.7 ya wakazi wote.

HALI YA MIRADI YA MAJI WILAYANI
Huduma ya maji safi katika Halmashauri ya Wilaya ya Babati hutolewa kwa njia zifuatazo:-

1.    Miradi ya maji ya Mtiririko – 42

2.    Miradi ya maji ya visima virefu – 8

3.    Miradi ya maji visima vifupi – 144

4.    Miradi ya maji ya mabwawa – 13

5.    Malambo yapo – 6

6.    Miradi ya uvunaji wa maji ya mvua - 43

MAJUKUMU YA IDARA
Idara ya Maji ikiwa ni moja ya Idara chini ya Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya inajishughulisha na kumsaidia/kumshauri Mkurugenzi Mtendaji Wilaya katika mambo yafuatayo:-
Kuandaa mipango na bajeti ya utoaji wa huduma ya maji kwa wananchi kwa mwaka.
Kuratibu shughuli za huduma ya maji wilayani.
Kusimamia ujenzi wa miundombinu na ukarabati wake wilayani.
Kutoa elimu na kuhamasisha wananchi juu ya usimamizi na uendeshaji wa miradi ya maji kwa maendeleo endelevu kwa kushirikiana na idara zingine.
Kuandaa taarifa na takwimu za huduma ya maji na kuziboresha kila wakati.
Mengineyo yanayojitokeza na kupangiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya.

MAFANIKIO
Kwa kuitikia utekelezaji wa sera ya maji ya mwaka 2002 na sheria ya maji na usafi wa mazingira No. 12 ya mwaka 2009, Jamii imeanzisha jumla ya vyombo vya watumia maji 13 (8 vimesajiliwa, 2 vipo katika hatua ya uundwaji na 3 katika hatua ya usajili), vilevile kuna mifuko ya maji 39 ya kijiji. Idara kwa kushirikiana na mashirika yasiyo ya kiserikali inaendelea kuhamasisha jamii uanzishaji wa vyombo vya watumiaji maji kisheria pamoja na uboreshaji wa vyombo hivyo. Pia Halmashauri ina jumla ya Mamlaka za maji za miji midogo 4 ambazo ni Magugu, Gallapo, Dareda na Bashnet.
Baada ya jamii kutambua umuhimu wao katika utekelezaji wa miradi ya maji vijijini, Taasisi mbalimbali ambazo ni WaterAid, World Vision, Fide, FACFna Dorcas zinashiriki katika ujenzi wa miradi mbalimbali ya maji pamoja na kuhamasisha jamii kuanzisha vyombo vya kijamii vya kusimamia uendeshaji na matengenezo ya miradi ya maji katika Halmashauri yetu

CHANGAMOTO
    Uelewa mdogo wa wananchi katika masuala ya usimamizi wa rasilimali za maji. Jamii kutojali muda wa utekelezaji wa miradi kwa kuchelewesha kuchangia/ kutoa nguvu kazi na kusababisha kuongezeka kwa gharama za ujenzi wa miradi.
    Uharibifu na uchafuzi wa vyanzo vya maji kama vile, kukata miti, kulishia mifugo na kulima kwenye vyanzo vya maji.
    Kupungua kwa maji kwenye vyanzo vya maji vinavyotumika kutokana na mabadiliko ya tabia nchi hususani katika kipindi cha kiangazi.
    Uchakavu wa miundombinu ya miradi kutokana na kujengwa muda mrefu uliopita na kukosa fedha za kutosha za ukarabati.
    Vyombo vya watumia maji bado ni vichache na bado vina udhaifu wa uongozi.
    Kutokuwepo na fedha za kutosha kwa ajili ya kazi za dharura, kama vile kuharibika kwa pampu na bomba kupasuka.
    Ukosefu wa vitendea kazi kwa ajili ya Wataalamu wakati wa ukarabati/ujenzi wa miradi (Kama Pikipiki)

MIKAKATI
    Kuwezesha jamii kuwepo kwa vyombo madhubuti vya watumia maji, vilivyoimarika vitakavyosimamia uendeshaji na matengenezo ya miradi ya maji.
    Kuelekeza nguvu (fedha) katika miradi michache itakayokamilika mapema badala ya kuwa na msururu wa miradi isiyokamilika.
    Kuimarisha usimamizi wa rasilimali za maji na hifadhi ya vyanzo vya maji kwa kuiwezesha jamii kuanzisha vyombo vya kusimamia vizuri matumizi ya maji pamoja na hifadhi ya vyanzo vya maji.
    Kutengeneza mazingira mazuri zaidi ya sekta binafsi kushiriki katika ujenzi, uendeshaji na matengenezo ya miradi ya maji.
    Kuhamasisha jamii kujenga miundombinu ya kuvuna maji ya mvua na kutumia maji yaliyoko chini ya ardhi kwa kuchimba visima.
    Kuhakikisha huduma ya maji inaongezeka kutoka 62.7% iliyopo mpaka kufikia 90 ifikapo Desemba, 2020.




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA UANDIKISHAJI WAPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 25, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 03, 2024
  • TANGAZO LA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 11, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA UFUNDI 2020 June 17, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Afisa Mwandikishaji Afungua Mafunzo Awamu ya Pili Uandikishaji Daftari la Kudumu la Wapiga Kura

    May 15, 2025
  • Uongozi wa IPOSA waipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Babati.

    May 13, 2025
  • Naibu Waziri Sillo Azindua Bweni la Wasichana Wiayani Babati

    May 10, 2025
  • Viongozi wa Kisiasa Wakubali Kutoa Elimu Awamu ya Pili Daftari la Wapiga Kura

    May 08, 2025
  • Angalia zote

Video

MAKALA YA ELIMU IKIANGAZIA SWALA LA TAALUMA NA HALI YA UFAULU KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BABATI
video zaidi

Viunga vya haraka

  • Watumishi portal
  • Lgrcis dashborad
  • Salary silpportal
  • Ramani ya Halmashauri

Tovuti Mbalimbali

  • Tovuti ya Ofisi ya Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Ofisi ya Raisi,Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa-TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Wilaya Ya Kiteto
  • Secretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Babati

    Anwani: P.O BOX 400, Babati.

    Simu ya mezani: Simu Na. 027-2531011

    Simu ya Kiganjani: 0620444641,075486577

    Barua pepe: info@babatidc.go.tz,ded@babatidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani Ya Tovuti

Copyright ©2020 Babati District Council . All rights reserved.