Posted on: September 20th, 2019
Wanafunzi wa shule za msingi za Tarafa ya Gorowa katika Halmashauri ya Wilaya ya Babati,Mkoa wa Manyara wamepata neema ya ufadhili wa vifaa mbali mbali vya michezo zikiwepo jezi,mipira pamoja pampu za...
Posted on: August 28th, 2019
Kamati ya Siasa ya chama cha Mapinduzi Mkoa wa Manyara imepongeza Wilaya ya Babati na Halmashauri ya Wilaya ya Babati kwa ujenzi wa miradi mizuri ya maendeleo yenye tija kwa jamii .Hayo ameyasema Mwen...
Posted on: June 15th, 2019
Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa ameishukuru Halmashauri ya Wilaya ya Babati kwa kuendelea kutenga asilimia 10 ya mapato ya ndani kwa ajili ya Mfuko wa Wanawake ,Vijana na Watu wenye ulemavu. ...