• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Babati District Council
Babati District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango Ufuatiliaji na Takwimu
      • Ardhi mali Asili na Wanyamapori
      • Maendeleo ya jamii na ustawi wa jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mazingira na Usafi wa Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji nyuki
      • Teknologia ya Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Uchaguzi
    • Link ya Machapisho ya Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kiofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Halmashauri ya Wilaya ya Babati Yapongezwa Kupata Hati Safi

Posted on: June 16th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe.Queen Sendiga amepongeza Baraza la Madiwani,Timu ya Menejimenti naWatumishi wa H/W ya Babati kwa kupata  hati safi kwa kipindi cha miaka mitatu Mfululizo, 2020/2021,2021/2022 na mwaka 2022/2023. Akiwasoma hotuba hiyo leo iliyowasilishwa na Katibu Tawala Mkoa waManyara Bi Maryam Muhaji kwenye kikao maalum cha Baraza la Madiwani kupitia hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali( CAG) kwa mwaka wa fedha ulioshia  Juni 30, 2023 uliofanyika  katika ukumbi wa H/Wilaya. KatibuTawala Bi.Muhaji amesisitiza pamoja  nakupata hati safi,menejimenti ihakikishe maeneo yaliyotajwa kuwa na mapungufu katika taarifa ya Mkaguzi wa Hesabu za serikali kwa mwaka 2022/2023 yanafanyiwa kazi kikamilifu ikiwemo kujibu hoja za nyuma pamoja na maagizo ya kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa( LAAC)Kwa upande wake M/kiti wa H/Wilaya ya Babati Mhe.John Noya ameshukuru ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Ofisi ya Mdhibiti na mkaguzi serikali kwa ushauri na kuahidi kutekeleza maagizo yote.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGA KURA October 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2025 November 06, 2025
  • MKUTANO WA KWANZA WA BARAZA LA MADIWANI December 01, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA UFUNDI 2020 June 17, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Naibu Spika Asisitiza Mshikamano na Ushirikiano katika Jimbo Lake

    December 03, 2025
  • DC Kaganda Awataka Madiwani Kuwa Walinzi Wema wa Amani Katika Maeneo Yao

    December 03, 2025
  • Madiani Waliochaguliwa Watakiwa Kuzingatia Vipaumele Vya Serikali

    December 03, 2025
  • Mkurugenzi Awasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Shughuli za Halmashauri Mara Baada ya Madiwani Kumaliza Muda wao

    December 03, 2025
  • Angalia zote

Video

MAKALA YA ELIMU IKIANGAZIA SWALA LA TAALUMA NA HALI YA UFAULU KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BABATI
video zaidi

Viunga vya haraka

  • Watumishi portal
  • Lgrcis dashborad
  • Salary silpportal
  • Ramani ya Halmashauri

Tovuti Mbalimbali

  • Tovuti ya Ofisi ya Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Ofisi ya Raisi,Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa-TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Wilaya Ya Kiteto
  • Secretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Babati

    Anwani: P.O BOX 400, Babati.

    Simu ya mezani: Simu Na. 027-2531011

    Simu ya Kiganjani: 0620444641,075486577

    Barua pepe: info@babatidc.go.tz,ded@babatidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani Ya Tovuti

Copyright ©2020 Babati District Council . All rights reserved.