• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Babati District Council
Babati District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango Ufuatiliaji na Takwimu
      • Ardhi mali Asili na Wanyamapori
      • Maendeleo ya jamii na ustawi wa jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mazingira na Usafi wa Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji nyuki
      • Teknologia ya Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Uchaguzi
    • Link ya Machapisho ya Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kiofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC Kaganda Atoa Wito Kwa Vijana Kujikita Katika Kilimo na Ufugaji

Posted on: August 5th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Babati, Mhe. Emmanuela Mtatifikolo Kaganda, Agosti 8, 2025 ametembelea mabanda mbalimbali kwenye Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Themi Njiro, jijini Arusha, ambapo ametembelea pia mabanda ya Halmashauri ya Wilaya ya Babati akiwa kama Mgeni wa zamu wa siku hiyo.Akiwa katika ziara hiyo, Mhe. Kaganda ametoa wito kwa vijana kujikita zaidi katika sekta ya kilimo na ufugaji akisisitiza kuwa kuna fursa kubwa sana za kiuchumi kwenye sekta hizo iwapo vijana wataamua kuwekeza muda na maarifa yao.“Mimi mwenyewe pia ni  mkulima wa na naona matokeo. Vijana msisubiri ajira tu, jengeni ajira zenu kupitia ardhi yenu, Kuna mikopo inayotolewa na Halmashauri twende tukaipate mikopo hiyo ili tuweze kupata kianzio” amesema Mhe. Kaganda.

Aidha, amewataka vijana kuacha tabia ya kuuza ardhi za familia kwa kisingizio cha kutafuta mtaji wa biashara, na badala yake watumie ardhi hizo kama mtaji wa kuanzisha kilimo biashara chenye tija na endelevu.Vilevile, ametoa rai kwa maafisa biashara kutoka Halmashauri kuwasaidia wafanyabiashara kuongeza thamani ya bidhaa wanazozalisha ili ziweze kupata masoko mapana ya ndani na nje ya nchi.Mhe. Kaganda amewapongeza washiriki wote wa maonesho hayo na kusisitiza umuhimu wa kuendeleza ubunifu na teknolojia katika kilimo ili kuongeza tija na mapato kwa wananchi huku akiwaalika wote ambao Bado hawajafika waje wajifunze

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA UANDIKISHAJI WAPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 25, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 03, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI WASIMAMIZI VITUO VYA WAPIGA KURA June 30, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA UFUNDI 2020 June 17, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC Kaganda Atoa Wito Kwa Vijana Kujikita Katika Kilimo na Ufugaji

    August 05, 2025
  • Watendaji wa Uchaguzi Watakiwa Kujituma ili Kufanikisha Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu

    August 05, 2025
  • Mkurugenzi Mtendaji Aelekeza Mafunzo ya NAPA yatolewe kwa Vitendo

    July 17, 2025
  • Mwenge Wa Uhuru Waweka Jiwe La Msingi Kituo Cha Afya Gallapo

    July 15, 2025
  • Angalia zote

Video

MAKALA YA ELIMU IKIANGAZIA SWALA LA TAALUMA NA HALI YA UFAULU KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BABATI
video zaidi

Viunga vya haraka

  • Watumishi portal
  • Lgrcis dashborad
  • Salary silpportal
  • Ramani ya Halmashauri

Tovuti Mbalimbali

  • Tovuti ya Ofisi ya Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Ofisi ya Raisi,Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa-TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Wilaya Ya Kiteto
  • Secretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Babati

    Anwani: P.O BOX 400, Babati.

    Simu ya mezani: Simu Na. 027-2531011

    Simu ya Kiganjani: 0620444641,075486577

    Barua pepe: info@babatidc.go.tz,ded@babatidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani Ya Tovuti

Copyright ©2020 Babati District Council . All rights reserved.