Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati wametakiwa kuzuia mnyoo tegu(fini) ili kuboresha Afya zao na kuongeza kipato. Hayo yamesemwa na Meneja wa mradi wa Cystinet Africa Ndg AntonyNyerere leo kwenye kikao cha Wataalam cha uwasilishaji wa ripoti ya utafiti kuhusu udhibiti wa mnyootegu kwa binadamu na nguruwe kilichofanyika ukumbi wa H/W ya Babati.Nyerere amesema lengo la kikao hicho ni kuwashirikisha wadau kuhusu matokeo namapendekezo ya tafiti za magonjwa yanayosababishwa na mnyoo tegu ili wadau hao waweze kuyafikisha kwa jamii kuanzia ngazi ya kitongoji.Ameeleza kuwa mnyoo tengu anamadhara ya kiafya,ikiwa ni pamoja na kusababisha upofu,maumivu ya kichwa na kifafa na hupoteza kipato kwa wananchi Aidha amesema tafiti zimeonesha Wilaya ya Babati maambukizo ya mnyoo tegu bado yapo na jamii inatakiwa kuzuia.Amesisitiza jamii kujenga na kutumia vyoo bora, kuzuia ufugaji holela wa nguruwe,kuimarisha usafi baina ya mtu na mazingira.Naye Makamu M/kiti wa H/W ya Babati Mhe.Yahaya Loyamesema Elimu hiyo itapelekwa kwenye vijij
Halmashauri ya wilaya ya Babati
Anwani: P.O BOX 400, Babati.
Simu ya mezani: Simu Na. 027-2531011
Simu ya Kiganjani: 0620444641,075486577
Barua pepe: info@babatidc.go.tz,ded@babatidc.go.tz
Copyright ©2020 Babati District Council . All rights reserved.