• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Babati District Council
Babati District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango Ufuatiliaji na Takwimu
      • Ardhi mali Asili na Wanyamapori
      • Maendeleo ya jamii na ustawi wa jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mazingira na Usafi wa Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji nyuki
      • Teknologia ya Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Uchaguzi
    • Link ya Machapisho ya Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kiofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Wadau wa Maendelea kwa Kushirikiana na Uongozi wa Halmashauri Wajenga Ofisi za Kata

Posted on: January 25th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Babati Kwa kushirikiana na Wadau wa Maendeleo na Wananchi wa  Kata za Madunga na Bashnet wamejenga ofisi za Kata  kurahisisha upatikanaji wa huduma . Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati Anna Mbogo amesema Halmashauri ya Babati itaendelea kutenga na kutoa fedha za mapato ya ndani Kila mwaka  kujenga ofisi za Kata na Vijiji ili kurahisisha utoaji wa huduma  na kudumisha utawala Bora. 



Madiwani wa Kata hizo Jovitha Mandoo(Kata ya Bashnet) na John Noya Kata ya Madunga) Kwa nyakati tofauti  katika Kata zao wameshukuru Serikali, wadau wa Maendeleo na  Wananchi kwa kukubali kuchangia fedha na vifaa kujenga ofisi za Kata ili kurahisisha utoaji wa huduma na utawala Bora katika maeneo yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA UPIMAJI ARDHI KWA TAASISI ZOTE NDANI YA HALMASHAURI February 14, 2023
  • MIKOPO KUTOKA HAZINA February 22, 2023
  • UFUNGUZI WA SHUGHULI ZA UVUVI ZIWA BURUNGE NA MANYARA March 02, 2023
  • MAJINA YA VITUO VYA KUANDIKISHA NA ORODHA YA MAJINA YA BVR KIT OPERATORS NA WAANDISHA WASAIDIZI WALIOCHAGULIWA July 26, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Wilaya ya Babati Kuongeza Mapato Kwa kutumia Mfumo wa Stakabadhi wa Ghala

    March 17, 2023
  • Twange Akabidhi Pikipiki 8 kwa Watendaji wa Kata

    March 07, 2023
  • Serikali Kujenga Majengo Mapya Kituo cha Afya Gallapo

    February 20, 2023
  • Naibu Waziri Aridhishwa na Matumizi ya Tsh 470 Ujenzi Sekondari Sarame

    February 20, 2023
  • Angalia zote

Video

MAKALA YA ELIMU IKIANGAZIA SWALA LA TAALUMA NA HALI YA UFAULU KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BABATI
video zaidi

Viunga vya haraka

  • Watumishi portal
  • Lgrcis dashborad
  • Salary silpportal
  • Ramani ya Halmashauri

Tovuti Mbalimbali

  • Tovuti ya Ofisi ya Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Ofisi ya Raisi,Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa-TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Wilaya Ya Kiteto
  • Secretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Babati

    Anwani: P.O BOX 400, Babati.

    Simu ya mezani: Simu Na. 027-2531011

    Simu ya Kiganjani: 0620444641,075486577

    Barua pepe: info@babatidc.go.tz,ded@babatidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani Ya Tovuti

Copyright ©2020 Babati District Council . All rights reserved.