• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Babati District Council
Babati District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango Ufuatiliaji na Takwimu
      • Ardhi mali Asili na Wanyamapori
      • Maendeleo ya jamii na ustawi wa jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mazingira na Usafi wa Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji nyuki
      • Teknologia ya Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Uchaguzi
    • Link ya Machapisho ya Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kiofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Naibu Waziri Sillo Azindua Bweni la Wasichana Wiayani Babati

Posted on: May 10th, 2025



Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini, Mhe. Daniel Sillo, amezindua bweni la Wasichana katika Shule ya Sekondari Qash, lililojengwa kwa msaada wa Shirika la So They Can Tanzania kwa gharama ya shilingi milioni 187. Bweni hilo lenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 80 limejengwa kwa ushirikiano na wananchi ambao walichangia asilimia 7 ya gharama za ujenzi huo.


Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, leo Mei 10, 2025 katika Shule ya Secondary Qash iliyopo wilayani Babati Mhe. Sillo amewashukuru wananchi kwa mapokezi mazito na kujitolea katika kuchangia maendeleo ya elimu.


Mhe. Sillo ameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi mahiri wa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji kwa kuendelea kudumisha amani na usalama nchini.


Amesema kuwa, kutokana na jitihada hizo, Shirika la So They Can pamoja na wawekezaji wengine wameweza kuwekeza Tanzania katika miradi mbalimbali kwa utulivu na amani


Mbali na uzinduzi wa bweni hilo, Mhe. Sillo alieleza kuwa Serikali imeshaipatia halmashauri ya Wilaya ya Babati kiasi cha shilingi milioni 520 kwa aajili ya ujenzi wa mabweni manne  katika Shule za Secondary Kisangaji na Gidas. Amesisitiza kuwa uwekezaji huo ni sehemu ya mkakati wa Serikali katika kuhakikisha inaboresha sekta ya elimu na ustawi wa wanafunzi.


Pamoja na hayo, Mhe. Sillo alitoa wito kwa viongozi wa dini na wananchi kuendelea kuliombea taifa kwa ajili ya kudumisha amani na utulivu, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi. Pia alitoa wito kwa wazazi, walezi, na viongozi kushiriki kikamilifu katika kupambana na ukatili wa kijinsia kwa kutoa taarifa pale wanapohisi vitendo vya kikatili vinafanyika, ili kuwalinda watoto na familia dhidi ya vitendo hivyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA UANDIKISHAJI WAPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 25, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 03, 2024
  • TANGAZO LA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 11, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA UFUNDI 2020 June 17, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Afisa Mwandikishaji Afungua Mafunzo Awamu ya Pili Uandikishaji Daftari la Kudumu la Wapiga Kura

    May 15, 2025
  • Uongozi wa IPOSA waipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Babati.

    May 13, 2025
  • Naibu Waziri Sillo Azindua Bweni la Wasichana Wiayani Babati

    May 10, 2025
  • Viongozi wa Kisiasa Wakubali Kutoa Elimu Awamu ya Pili Daftari la Wapiga Kura

    May 08, 2025
  • Angalia zote

Video

MAKALA YA ELIMU IKIANGAZIA SWALA LA TAALUMA NA HALI YA UFAULU KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BABATI
video zaidi

Viunga vya haraka

  • Watumishi portal
  • Lgrcis dashborad
  • Salary silpportal
  • Ramani ya Halmashauri

Tovuti Mbalimbali

  • Tovuti ya Ofisi ya Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Ofisi ya Raisi,Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa-TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Wilaya Ya Kiteto
  • Secretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Babati

    Anwani: P.O BOX 400, Babati.

    Simu ya mezani: Simu Na. 027-2531011

    Simu ya Kiganjani: 0620444641,075486577

    Barua pepe: info@babatidc.go.tz,ded@babatidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani Ya Tovuti

Copyright ©2020 Babati District Council . All rights reserved.