• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Babati District Council
Babati District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango Ufuatiliaji na Takwimu
      • Ardhi mali Asili na Wanyamapori
      • Maendeleo ya jamii na ustawi wa jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mazingira na Usafi wa Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji nyuki
      • Teknologia ya Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Uchaguzi
    • Link ya Machapisho ya Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kiofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Maandalizi ya Mapokezi ya Mbio za Mwenge Yapamba Moto Wilayani Babati

Posted on: June 4th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Babati, Mhe. Emmanuela Mtatifikolo Kaganda, ameongoza kikao muhimu cha maandalizi ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru unaotarajiwa kukimbizwa katika Halmashauri za Wilaya ya Babati mwezi Julai, 2025.


Kikao hicho kimefanyika leo mapema katika ukumbi wa Halmashauri ya mji Wa Babati, kikihusisha wajumbe kutoka Halmashauri zote mbili (Mji na Wilaya), pamoja na wakuu wa taasisi mbalimbali, mashirika ya maendeleo na vyombo vya ulinzi na usalama vilivyopo ndani ya Wilaya pamoja na viongozi Wa Chama.


Katika kikao hicho, Mhe. Kaganda amesisitiza umuhimu wa maandalizi ya kina, ushirikiano wa wadau wote, na kuhakikisha kuwa miradi itakayopitiwa na Mwenge inazingatia ubora, thamani ya fedha na maslahi ya wananchi. Aidha, amewataka viongozi wa kata, mitaa na vijiji kushirikiana kwa karibu na kamati ya maandalizi ili kuhakikisha mapokezi hayo yanakuwa ya kibunifu, salama na yenye hamasa ya kitaifa.


Mwenge wa Uhuru utakapowasili, unatarajiwa kukimbizwa katika maeneo mbalimbali ya Wilaya, kutembelea miradi ya maendeleo, kuhamasisha mapambano dhidi ya rushwa, dawa za kulevya, UKIMWI, na kusisitiza amani kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA UANDIKISHAJI WAPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 25, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 03, 2024
  • TANGAZO LA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 11, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA UFUNDI 2020 June 17, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DAS Matipula. Watumishi Fanyeni Kazi Kwa Bidii

    June 20, 2025
  • Madiwani Waishukuru Serikali Kwa Ujenzi Wa Jengo La Makao Makuu Ya Halmashauri

    June 20, 2025
  • Mkurugenzi Apongezwa Kwa Utendaji Kazi Mzuri

    June 20, 2025
  • Watumishi Watoa Shukurani Kwa Baraza la Madiwan

    June 20, 2025
  • Angalia zote

Video

MAKALA YA ELIMU IKIANGAZIA SWALA LA TAALUMA NA HALI YA UFAULU KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BABATI
video zaidi

Viunga vya haraka

  • Watumishi portal
  • Lgrcis dashborad
  • Salary silpportal
  • Ramani ya Halmashauri

Tovuti Mbalimbali

  • Tovuti ya Ofisi ya Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Ofisi ya Raisi,Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa-TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Wilaya Ya Kiteto
  • Secretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Babati

    Anwani: P.O BOX 400, Babati.

    Simu ya mezani: Simu Na. 027-2531011

    Simu ya Kiganjani: 0620444641,075486577

    Barua pepe: info@babatidc.go.tz,ded@babatidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani Ya Tovuti

Copyright ©2020 Babati District Council . All rights reserved.